Tanzania na Uturuki zasaini maazimio ya kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kupitia Tume ya Pamoja ya Ushirikiano: zikitilia mkazo Biashara na Uwekezaji
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uturuki zimesaini maazimio ya kikao cha kwanza cha Tume ya Pamoja ya Ushirikiano, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi kwa… Read More








