Naibu Spika Sillo Awasili Uturuki katika Mkutano wa IPU
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo amewasili nchini Uturuki kwa ajili ya kumwakilisha Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu katika Mkutano wa 152 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).… Read More








