Recent News and Updates
Mazungumzo ya Mhe. Balozi wa Tanzania nchini Uturuki na watendaji ya benki ya CRDB
Mhe. Lt. Jen. Y.H. Mohamed, Balozi wa Tanzania nchini Uturuki amekutana na kufanya mazungumzo na Watendaji wa Benki ya CRDB walipotembelea Ubalozi tarehe 29 Machi 2022. Read More
Kikao Cha Pamoja Kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania na Jeshi la Uturuki
Mwambata Jeshi (DA) wa Tanzania nchini Uturuki, Kanali A. J. Khalfan akibadilishana zawadi na Brigedia Jenerali Hakan Çanli, Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Kimataifa wa Jeshi la Uturuki, baada ya kushiriki Kikao Cha Pamoja Kati… Read More