News and Resources Change View → Listing

Tanzania yashiriki Kongamano la Biashara na Uchumi, Istanbul, Uturuki

Tanzania imeshiriki Kongamano la Biashara na Uchumi kati ya Uturuki na Afrika (Türkiye - Africa Business and Economic Forum), ambalo limefunguliwa Oktoba 16, 2025, jijini Istanbul na Mhe. Prof. Dkt. Ömer…

Read More

BALOZI IDDI SEIF BAKARI AMEFANYA MAZUNGUMZO NA BW. DEODAT MAHARAJ, MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA TEKNOLOJIA YA UMOJA WA MATAIFA KWA AJILI YA NCHI ZENYE UCHUMI MDOGO

Tarehe 02 Oktoba 2025, Jijini Ankara, Mhe. Balozi Iddi Seif Bakari alifanya mazungumzo na Bw. Deodat Maharaj, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Teknolojia ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Nchi zenye Uchumi mdogo…

Read More

UJUMBE WA TANZANIA WATEMBELEA CHEMBA YA WAFANYABIASHARA NCHINI UTURUKI

Istanbul, Septemba 8, 2025 – Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Mhe. Iddi Seif Bakari, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uturuki,  ulitembelea Chemba ya Wafanyabiashara ya Istanbul…

Read More

TANZANIA YAENDELEA KUFUNGUA SOKO LA MAZAO KIMATAIFA

Tanzania imeshiriki kwenye Kongamano la Kimataifa la Ufuta na Karanga ambalo lililofanyika jijini Istanbul, Uturuki kuanzia tarehe 5-7 Septemba 2025. Kongamano hilo lilijumuisha mataifa yanayolima mazao ya…

Read More

UJUMBE WA TANZANIA WAKUTANA NA KAMPUNI ZA UNUNUZI NA UCHAKATAJI WA MAZAO NCHINI UTURUKI

Istanbul, tarehe 5 Septemba 2025, Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki Kongamano la Dunia la Ufuta na Karanga nchini Uturuki, kwa nyakati tofauti ulifanya mazungumzo na Kampuni za TANIŞ Processjng Tech. na AKY…

Read More

Balozi Iddi Seif Bakari awapokea Wakuu wa Taasisi na Wataalamu kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali

Mhe. Balozi Iddi Seif Bakari, Septemba 4, 2025, amepokea ujumbe wa Tanzania, ukijumuisha Wakuu wa Taasisi na Wataalamu kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali ambao upo Istanbul, Uturuki kwa ziara ya…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki amepokea ujumbe kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC- Tanzania)

Tarehe 25 Mei 2025, Mhe. Iddi Seif Bakari, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ankara alipokea ujumbe kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC-Tanzania), ambao uko nchini Uturuki kwa ziara maalum ya…

Read More