News and Resources Change View → Listing

TANZANIA AND TÜRKİYE TO ENHANCE AGRICULTURAL COOPERATION

On 4 August 2026, the Ambassador of Tanzania to Türkiye, H.E Iddi Seif Bakari met with a delegation from Doğanlar Agriculture in Ankara, led by the company's Chief Executive Director, Ms. Çiğdem…

Read More

Embassy of Tanzania Participates in Kastamonu Summit 2026 to Promote Trade and Investment Cooperation with Türkiye

The Embassy of the United Republic of Tanzania in Ankara participated in the Kastamonu Summit 2026, convened from 28–30 July in Kastamonu, Republic of Türkiye. The Summit was organized by ULUSKON…

Read More

MABALOZI WA TANZANIA NA URUSI NCHINI UTURUKI WAJADILI KUIMARISHA MAHUSIANO YA PANDE MBILI

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mhe. Iddi Seif Bakari, leo Aprili 28, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini Uturuki, Mhe. Sergey Vershinin, jijini Ankara. Kupitia mazungumzo hayo,…

Read More

UBALOZI WA TANZANIA, UTURUKI WAADHIMISHA SIKU YA MUUNGANO KWA KUKUTANA NA WATANZANIA

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mhe. Iddi Seif Bakari ametumia Hafla ya Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano kuwasihi Watanzania wanaoishi Uturuki kuchangamkia fursa za maendeleo zilizopo ili kuchangia…

Read More

Naibu Spika Sillo Awasili Uturuki katika Mkutano wa IPU

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo amewasili nchini Uturuki kwa ajili ya kumwakilisha Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu  katika Mkutano wa 152 wa Umoja wa…

Read More

Tanzania yashiriki Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo nchini Uturuki

Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Zana za Kilimo na Matumizi ya Nishati Mbadala kutoka Wizara ya kilimo, Mhandisi Henry Godrey Kilapilo umeshiriki maonesho ya Kilimo ya Konya (Konya…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki ahimiza uwekezaji wa AVES katika sekta ya alizeti nchini Tanzania

Tarehe 25 Machi 2026, jijini Ankara, Mhe. Balozi Iddi Seif Bakari alikutana kwa mazungumzo na Bw. Mohammed İdin, Meneja Mkuu wa Kampuni ya AVES yenye Makao Makuu yake mjini Mersin, Uturuki. Kupitia mazungumzo…

Read More